Tuesday, September 16, 2014
WATOTO WALIFANYIWA UKATILI WILAYANI KASULU MWAKA 2014
MAAZIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA 2014 MAKERE -KASULU
Viongozi wa Shirika la CEF walitoa Msaada wa Daftari na Kalamu kwa Wanafunzi wa Shule ya msingi Muungano.
SEMINA YA VIONGOZI WA SERIKALI JUU YA HAKI ZA WATOTO WILAYANI KASULU
WATOTO WALIOKAMATWA WAKICHUNGA NG'OMBENA KAZI ZA NDANI
Miongoni mwa Watoto hao walikuwa wanasafirishwa (Biashara ya binadamu)
Shirika la Haki za Watoto Kwa Kushirikiana na Ofisi ya Ustawi wa Jamii na Maafisa wa Police wa Wilaya ya Kasulu Kigoma,Wamefanikisha kuwarudisha kwao Ndani ya Nchi na Nje ya Nchi.
Kesi za Watuhumiwa Ziko Mahakamani.
Tuesday, February 18, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)