CHILDREN ON THE EARTH FOUNDATION (CEF)
P.O.
BOX 72, KASULU - KIGOMA
E-mail:
childrenfoundation25@yahoo.com
Website: www.hakizawatoto.blogspot.com
Phone: +255
767325090/+255 756606087/+255 719744411
CEF NA SHUGHULI ZAKE
Children on Earth Foundation (CEF)
CEF ni Shirika lisilo la Kiserikali la Kulinda na Kutetea Haki za Watoto Tanzania. Makao
Mkuu ya Shirika hili yapo Kasulu Kigoma. Shirika linatambulika kiserikali na
limesajiliwa kwa namba 06NGO/00005955
chini ya kifungu cha Sheria No.24 ya mwaka 2002 tarehe 26 Novemba 2012.
Lengo
Kuu.
Kuwa
na jamii yenye maisha bora na mazingira safi na salama kama ukombozi kwa afya
ya watoto na mahitaji yao ya lazima.
Malengo
mengineyo.
Ø CEF inalenga
kuanzisha shule ya watoto yatima, watoto wa mitaani na watoto wasiojiweza. Hii
ni pamoja na watoto walemavu.
Ø CEF
inalenga
kuanzisha Kituo cha Afya ya Mama na Mtoto pamoja na kulea watoto yatima.
Ø CEF
ina
mwanasheria anayesimamia sheria ya mtoto pindi unapotokea uvunjifu wa sheria
hiyo (ukatili).
Ni
pamoja na kufuatilia kesi zote zinazowahusu watoto kuanzia polisi, mahakamani
hadi watoto walioko magereza.
Shughuli za CEF (Kutoa Elimu kwa jamii na Kusimamia yafuatayo)
·
HAKI ZA BINADAMU
·
HAKI ZA WATOTO TANZANIA
Ø Elimu bora
na maadili shuleni
Ø Lishe bora
kwa jamii
Ø Afya na
mazingira safi na salama ya mama na mtoto
Ø Michezo na
burudani (kuibua vipaji)
Ø Kufuatilia
kesi zote zinazowahusu watoto polisi, mahakamani na magerezani ili kuona na
kuhakikisha haki ya mtoto inatendeka kwa kutumia mwanasheria wake.
Ø Kuwapa
wazee, vikongwe na wajane msaada wa mahitaji muhimu kama vile chakula na mavazi
Ø Kuwapatia
msaada wa tiba watoto wenye magonjwa sugu.
Ø Kutoa msaada
kwa watoto walemavu wa viungo, ngozi, akili, watoto yatima, watoto
waliotekezwa, watoto wa mitaani na waathirika wa HIV
(UKIMWI)
Njia ya kufikisha ujumbe kwa jamii.
Ø Semina,
warsha na mikutano
Ø Vipeperushi,
mabango, t-shirt, gazeti na redio
Ø Michezo na
burudani
CEF INALENGA MAKUNDI YAFUATAYO,
Ø Watoto
walioko chini ya umri wa miaka 18
Ø Mama
mjamzito na mama anayenyonyesha
Ø Watoto wa
mitaani, yatima na waliotelekezwa na wazazi wao
Ø Walemavu wa
ngozi, viungo na akili
Ø Watoto
waishio katika mazingira hatarishi
Ø Waathirika
wa HIV (UKIMWI) na madawa ya kulevya
Wazee, vikongwe n
No comments:
Post a Comment