Tuesday, September 16, 2014

WATOTO WALIOKAMATWA WAKICHUNGA NG'OMBENA KAZI ZA NDANI


Watoto hao walikamatwa Eneo la Hifadi Wilayani Uvinza Wakichunga ng'ombe kwa Ujila mdogo
Miongoni mwa Watoto hao walikuwa wanasafirishwa (Biashara ya binadamu)
Shirika la Haki za Watoto Kwa Kushirikiana na Ofisi ya Ustawi wa Jamii na Maafisa wa Police wa Wilaya ya Kasulu Kigoma,Wamefanikisha kuwarudisha kwao Ndani ya Nchi na Nje ya Nchi.
Kesi za Watuhumiwa Ziko Mahakamani.



No comments:

Post a Comment