Bibi hawa ni ombaomba wa mtaani.Miongoni mwao hawana ndugu kabisa na wanabaki wakiomba misaada kwa watu mbalimbali na wasamalia wema,Ukibahatika kuyaona mazingira yao wanayoishi kweli yanakufanya uwaonee huruma.
USHAURI KWA SERIKALI;-'Ninaiomba serikali ya tanzania ifanye kila liwezekanalo ili kuondokana na tatizo hili la OMBAOMBA, KUMBUKA UZEE NI DHAHABU.
No comments:
Post a Comment