Tuesday, January 22, 2013

MWENYEKITI AKIWA ZIARANI SHULE YA MSINGI MUUNGANO (CHAIRMAN tour at MUUNGANO PRIMARY SCHOOL)

Mwenyekiti wa CEF akiwa na watoto wa shule ya msingi Muungano alipowatembelea shuleni hapo baada ya mazungumzo na mwalimu mkuu wa shule hiyo, Shule hii pia ina idadi kubwa ya wanafunzi ikiwa na wanafunzi 678 na walimu 11 tu takwimu zilizopatikana mwezi 8 mwaka 2012.
Chairman of CEF with children of primary school union he visits the school after a conversation with the head teacher of the school, the school also has a large number of students if students 678 teachers only 11 data obtained in August, 2012.

No comments:

Post a Comment