Mwenyekiti wa CEF akiwa na mwalimu na wanafunzi wa shule ya msingi Makere alipofanya ziara shuleni hapo na kubaini idadi ya watoto wa shule hiyo haiendani na idadi ya walimu, Shule hiyo ina idadi ya wanafunzi 854 na walimu 11 tu ambayo ni idadi ndogo ikilinganishwa na idadi kubwa iliyopo ya wanafunzi takwimu zilipatikana mwezi 9 mwaka 2012
Shirika la CEF limegundua hapo hakuna elimu bora kwa wanafunzi.
Chairman of CEF with the teacher and students of Makere Primary School visited the school to determine the number of school children that is inconsistent with a number of teachers, the School has a number of students 854 teachers only 11 which is a small number compared to the large number existing students, this figures were obtained on September, 2012.
Chairman of CEF with the teacher and students of Makere Primary School visited the school to determine the number of school children that is inconsistent with a number of teachers, the School has a number of students 854 teachers only 11 which is a small number compared to the large number existing students, this figures were obtained on September, 2012.
Watoto wa shule hiyo wakiwa michezoni bila kuwa na viwanja vya michezo.
So while school children are playing without a playground.
So while school children are playing without a playground.
No comments:
Post a Comment