Tuesday, January 22, 2013

SHIRIKA LA CEF LILIVYO SHIRIKI SIKU YA WALEMAVU KIMKOA WILAYANI KASULU KABANGA TAREHE 15/12/2012 (CEF does CORPORATION SHARE DAY disability KASULU regional district Kabanga DATE 15/12/2012)


 Mwenyekiti wa Shirika la CEF akiwa na baadhi ya watoto walemavu wa ngozi kijiji cha kabanga.
Chairman of the Organization of CEF having some skin disabled children's village Kabanga
 Shirika la CEF liliposhiriki kikamilifu siku ya walemavu iliyofanyika wilayani Kasulu katika kijiji cha Kabanga.
CEF Agency took part actively on disability held Kasulu district in the village of Kabanga.
 Kwaya ya walemavu ikitoa burudani kwenye maadhimisho ya siku hiyo.
Choir entertaining releasing disabled in celebration of the day.
 Mwenyekiti wa shirika akiwa katika picha na baadhi ya watoto walemavu wa ngozi alipowatembelea.
Chairman of the organization at the pictures and some of the disabled children she visits the skin.
Mwenyekiti wa CEF akiwa na baadhi waandishi wa habari na walemavu wa ngozi baada ya mazungumzo alipowatembelea.
Chairman of CEF with some news reporters and disabled the skin after a conversation he visits.
Mwenyekiti wa shirika akiwa na viongozi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.
Chairman of the organization with leaders Kasulu district in Kigoma.

No comments:

Post a Comment